Wewe mkuu huwa Unapenda haki Sana.... nakufahamu kama kada mtiifu usiye jitoa ufahamu kisa chama. Well said hivi lile gazeti la msiba kama ingekuwa Tanzania daima inaandika ule uharo ingekuwa wapi? Simama upande wa haki siku zote. Big up Sana mkuu
Hivi huu ukuta Kwenda ardhini umejengwa kilomita ngapi maana Madini yako chini Sana Usije kuta tunalinda ukuta kumbe wachimbaji wako ardhini wanachimba kama kawaida wakitokea nje ya ukuta. Nani alikudanganya Mali iliyo chini ya ardhi inalindwa Kwa ukuta ulio juu ya ardhi?
Wajibu wa kwanza wa kiongozi ni kulinda uhai wa anaowaongoza...... kila siku Watu wanapotea na vifo vya ajabu...... hili lisipokomeshwa maendeleo unamfanyia Nani?
Kwanza wanamzuiaje kutimiza Wajibu wake? Usiwaze kinjaa mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.