Kuna Single Maza wa aina mbili au Zaidi
1. Ulizaa Bila Ndoa na Mwanaume Single ambaye alikuja kuoa mke mwingine.
2. Ulizaa Bila ndoa na mwanaume anayezalisha wanawake ovyo ovyo na kuwaacha.
3. Ulizaa na Mume wa Mtu mwenye familia yake na watoto wake Wengi tuu Kwenye Ndoa yake.
4. Ulizaa...
Kuna Siku Huwa ninakuwa na Hali Fulani tumboni, chini ya mbavu changa pande Zote ila sanasana upande wa kulia, ambayo Huwa haitulii hadi ninywe walao kifuniko Cha Valeur au Konyagi ndo kunatulia..
Nimepima Figo zipo poa.
Anaitwa Mbarikiwa Mwakipesile Ni Jina Lake. Sasa Alipata Cheo Cha Urais ataitwa Rais Mbarikiwa. Kwa Kuwa Sasa ni Mchungaji hivyo anaitwa Mchungaji Mbarikiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.