Penye ukweli unazi hauna nafasi sikia nyie madogo hawa wawakilishi wa wnanchi wametumwa bungeni kuwakilisha mawazo ya wapiga kura wao na si maigizo wanayofanya ka wanataka fani si wakajiunge the comedy.huo ni ubinafsi mkubwa waliouonyesha na pia unatia shaka kama wako kwenye kutafuta uwakilishi...
HUO NI UKWELI KUBEBANA UNDUGU KIASI HICHI SI HAKI CHAMA NI CHA WATU WOTE IWEJE WATU WAINGIZE NDUGU ZAO KAMA NZIGE KWANI WA KWALIFICATION WENGINE HAWAPO AU MPAKA UWE MBUNGE NDO UBEBE NA MBELEKO?CHAMA NDIO MAARUFU SI MTU:nono:
Kabla ya kufikiria namna ya kumkomboa mtanzania kwenye dimbwi hili la umasikini kimsingi lazima tuanishe STRENGTH NA WEAKNESS zetu hii ikiwa ni pamoja na kuangalia fursa zilizopo ambavyo zinaweza kutuletea maendeleo cha msingi uongozi ni jambo moja lakini lazma tukubali kuwa mfumo wa elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.