Je mshahara wa diploma ya shule ya msingi na sekondari mshahara unalingana? naomba mnisaidie kama hujui ni bora ukae kimya kuliko kunidanganya.
Maana nataka kufanya maamzi ya kipi ni some.
Act Wazalendo ina Mbunge 1 Zitto Kabwe na madiwani takriban 34 nchi nzima, kumbuka chama hiki ni kimpya hakikuwahi kuwa na mbunge hivyo hawajapoteza chochote kwenye uchaguzi huu.
NCCR-mageuzi walikuwa na wabunge 4 kule mkoani Kigoma na mmoja wa kuteuliwa(James Mbatia) baada ya uchaguzi wamepata...
Umechukua viti vyote 12 vya udiwani umebeba. Umedhihakiwa sana. sasa kachape kazi. Ndio maana wahenga walisema kuwa MUNGU SI ATHUMANI. MUNGU ANGEKUWA BINADAMU TUNGEANGAMIA WOTE. Hongera.
Poleni sana UKAWA, CCM imedhihirisha kuwa ni mfupa mgumu usioweza kutafunwa na CHADEMA. ACT wazalendo karibuni mjaribu kutafuna fupa hili gumu! Lakin ni gumu kweli kweli, wakati wa kulitafuna mwangalie sana msije mkawa vibogoyo kama CHADEMA.
UKAWA walikuwa na nguvu za kutosha jimbo la Ubungo lakini kwa sasa mgombea wa CUF na wa CHADEMA wote wanaendekea na kampeni kitu kitakacho sababisha kugawanywa kwa kura na hatimaye kukosa ushindi.
Ombi langu kwa ACT-Wazalendo jengeni hoja mlichukue jimbo hilo maana UKAWA wamekiuka misingi ya...
act wazalendo mkoa wa kigoma ni balaa! kazi ya zitto imeonekana! hakika kwa utafiti niliofanya lazima zitto atakuwa mbunge kigoma mjini. najua mahasimu wake mtabisha lakini ukweli ndo huo! asipo shinda kwa jinsi navyoona upepo wa kisiasa ulivyo hapa kigoma mjini, mimi ntatembea uchi kutoka ujiji...
act wazalendo mkoa wa kigoma ni balaa! kazi ya zitto imeonekana! hakika kwa utafiti niliofanya lazima zitto atakuwa mbunge kigoma mjini. najua mahasimu wake mtabisha lakini ukweli ndo huo! asipo sinda kwa jinsi navyoona upepo wa kisiasa ulivyo hapa kigoma mjini, mimi ntatembea uchi kutoka ujiji...
jina la bwana lihimidiwe. Nimeona nije niwajuze kuhusu ukuu wa Mungu katika siasa. enyi watanzania na wanasiasa mungu ndo muumba wa kila kitu madini, ardhi, mito, mawe, na wewe binadamu pia. utajiri wote wa niwake mali, hata uwezo wa kufikiri pia. si ukawa wala ccm wawezao kutuamulia raisi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.