INGAWA MIMI MWENYEWE NI MSHAURI WA MAPENZI NA MAHUSIANO LAKINI HILI LIMENISHINDA. NAOMBA MNISHAURI.
Ndugu zangu na marafiki zangu,
Naandika hili nikihitaji ushauri wa kina, ushauri ambao utaniondoa katika kadhia hili.
Naomba msiangalie mimi ni nani, naomba msiangalie kile ninachokifanya bali...
[14:58, 18/02/2017] Ibrahim Masimba: NITAKUPA TU
SEHEMU YA 001
Mwandishi Ibrahim Masimba
*********
Alihisi ilikuwa sauti ya mwanamke, sauti ambayo mwanzo alidhani haikuwa ya mwanamke kutoka na usiku ule kuwa vigumu. Lakini sauti ile bado ilikuwa ikisikika katika ngoma za masikio yake. Sauti...
Wasalaam wanajukwa..
Ni kipindi kirefu sijajitokeza hapa kuandika kitu chochote kinachohusu mapenzi, uhusiano na urafiki. Sio kwamba nilikuwa siingii na kusoma, la hasha, nilikuwa nikiingia nakusoma kama kawaida na kuchangia kwa uchache sana. Ndugu zangu sitaki kuongelea kilichonitokea mwishoni...
MATESO YANGU
SEHEMU YA 001
Ilikuwa 08/09/2007 nikiwa nasoma chuo cha Elimu ya Biashara (college of business education) nikiwa ndio kwanza nauanza mwaka wa kwanza nikisomea Utawala wa Biashara Yaani Business Administration. Ulikuwa Usiku ambao sitausahau katika maisha yangu. Usiku ambao...
MKE WA RAIS
SEHEMU YA 002
Mwanaume akageuka kumtazama mwanamke akashangaa kukutana na mdomo wa bastola, bastola ambayo ilikuwa mikononi kwa mwanamke Yule. Macho Yalikuwa mekundu kwa Hasira.. Bastola Ikakohoa mara Mbili Risasi mbele Zikapenya Katika Paji la Uso la Mwanaume Yule. Ubongo Ukaruka...
Wasalaam wakuu,
Nikama miezi mitatu imepita tokea nilipoanzisha mahusiano na binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoani Kilimanjaro.
Ni binti mzuri wa sura, mweupe wa rangi na mwenye macho sahihi ya kike. Uhusiano wangu na binti ulianza pale alipohamia kwenye nyumba ninayoishi mimi akitokea maeneo ya...
kwa heshima na upendo wa moyo wangu.. naomba kujitokeza mbele ya jukwaa hili kwa sababu maalum. sababu ambayo imenifanya nihisi nimwenye kupaswa kuifanya. Naomba mnisaidie kumuwish heri ya kuzaliwa Mdogo wenu, Dada Yenu na Shemeji/wifi yenu Nameless girl. Mungu Akubariki na kukupa kila...
Wasalaam wakuu
habari za masiku tele?
Bila shaka muwazima wa afya kama kawaida.
wakuu na wanajf wote kwa ujumla nina swali la kuwauliza. swali hili nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu nikawa nakosa majibu sahihi. Sasa naomba leo nililete kwenu ili tusaidiane kupata jibu ama majibu sahihi...
Kitendo cha polisi kituo cha kigamboni kuwakamata wanawake wanaouza miili yao mchana kweupe ni udhalilishaji ambao unapaswa kukemewa kwa nguvu zote. Kuwafukuza Wanawake mchana kweupe wakiwa uchi wa
mnyama katikati ya MITAA sio sahihi kabisa.
Tunajua ni biashara ambayo inapingwa kila kona lakini...
Habari za jioni wakuu,
Jaribu kumtazama mwanamke ama mwanamume uliyenae kwa umakini. Mtizame anavyohangaika sababu ya mapenzi mazito aliyonayo juu yako.
Muangalie anapoamka asubuhi akikiacha kitanda tena akiwa bado na usingizi mzito. Lakini kwa kuitambua thamani yako na mahitaji muhimu katika...
Wasalaam wakuu,
Ni matumaini yangu kuwa kuna baadhi yetu tupo katika mahusiano. Mahusiano yenye mambo mengi kama kukera, kuliza na kuumiza.
Wengi walio katika mahusiano wamefika walipo wakipita katika mataizo mpaka kufikia hapa walipo. Mapito ya wengi waliopita ni mapito ambayo yaliwaacha na...
Wakuu,
Nimeshindwa kupata usingizi mpaka muda huu kutokana na ndoto inayonijia kila wakati kuhusu uwepo wangu katika kina cha Mahaba na mtoto wa Kisukuma Valentine.
Kinachonishangaza ndoto hii huwa inajirudia kila pale ninapopitiwa na usingizi hata kama ni asubuhi.
mshana jr hembu nidadavulie...
Najua kila mmoja wetu yupo katika mahusiano. Mahusiano ambayo licha ya kuwa na furaha ndani yake lakini vile vile huwa kuna maumivu na mateso makali sana. Wengi ni waongo, wasaliti na hawajali kile ambacho kipo ndani ya Moyo wa yule aliyenae.
Wengi wamekuwa wakionyesha mapenzi ya dhati kwa...
mmenichosha na Huu ujinga wenu wa kutoithamini miili yenu... Mwanamke lazima ujithamini na Kujiheshimu. Hivi huwa mnajisikiaje kugawa papuchi bila mpangilio
Wasalaam
wana Jf......
Sijui kama hili ni tatizo ama ni hali ambayo inanitokea kutokana na mengi mabaya niliopitia katika mahusiano yangu.
Ni kweli mimi ni mwanaume lijali na kunawakati huwa nahitaji kuwa na mpenzi. Lakini nina tatizo kubwa. Tatizo lenyewe lilianza kipindi...
Kabari, uporaji na Kila aina Ya Uhuni unapatikana pale siku Ya Leo.
Dada Zangu mliopanga kwenda pale kuweni makini na Simu Zenu, Mikoba Yenu na Hata nguo Zenu.
Madada mnaokuja na Watoto Wadogo naomba sana tena sana muwe mnaondoka mapema kabla Ya giza kuingia na Hili ni Angalizo kwasababu...
Wasalaam wana MMU!
Ninayaandika haya nikiwa ni mwenye furaha iliyopitiliza.Furaha Ambayo imenifanya nije hapa kuja kuwashukuru wana mmu walioamua kuacha kazi zao na kuja kuungana na mimi kunisapoti katika siku yangu ya kuzaliwa.
Sikutegemea wala kuamini kile ambacho mlikifanya jana kwa ajili...
Namshukuru Mungu kwa Kunifikisha Siku Ya leo. Siku ambayo ni maalum kwangu. Siku Ambayo kwa mapenzi Yake yeye Mwenyezi Mungu Ibra87 natimiza Miaka Kadhaa.
Ninayofuraha kubwa kufika Siku Ya leo.. Siku Ambayo niwengi walihitaji kufika Lakini Kwa Mapenzi Ya Mungu Hawakufanikiwa Kuiona..
Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.