sivyema kuondoka rostam aziz, yafanyike mambo mema tu kwa ajili ya tanzania, tatizo sio RA tatizo watanzania hawapendi kufikiria kitu kinachotufanya tuwe tunalalamika tu kama wagalatia. thanks
no, ilikuwa ukoloni mamboleo, shamte alikuwa kivuli ndio maana hatumtambui kama shujaa.
mapinduziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii .................................? thanks
baba yako mwenyewe alikuwa anagonganisha mambwa tu akiwa tumbo wazi, sasa we mwanae unamlaumu nyerere tu wakati hujui lolote? better keep quiet, baba wa taifa la zanzibar ni a.a. karume, period. thanks
no, mh. lema ni mbunge wa kuchaguliwa na wananchi sio mhuni, pls respect him.
cha kufanya sema tabia zake ndo za kihuni, hapo hata mie ntakuunga mkono. thanks
Chama cha demokrasia na maendeleo, CHADEMA, kimekiri kwamba mbunge wake wa arusha, Godbless Lema alishikiliwa na kuhojiwa vizuri na polisi kufuatia fujo zilizojitokeza kwenye uchaguzi wa meya wa jiji, ila walisisitiza kuwa uchaguzi haukuwa halali kutokana na walichokiita kutofikiwa 2/3 ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.