Sijapata maana mwanamme yeyote ninayempata kabla mate hayajakauga si mwanamme huyo ni kwa ajili ya mechi za kirafiki tu, hakuna la msingi nitaokota toka kwake.
Tatizo lenu mnajisifu kwa kutongoza watoto wa form four, halafu mnakuja kujisifu nimetongoza, sasa mtoto wa form four naye anatongozwa ama analaghaiwa? Nitajie idadi ya wanawake ambao umetongoza toka last year, wanawake sio watoto wala wadada poa!
Hujapata wataalam wa kuchuna wakati unafikiri unamiliki kumbe hata upangaji hujafikia, achana na wajuzi wa kuchuna wewe! Acha utalia kijana! Baki ivo ivo
Hapana si kila mtu anahitaji ndoa, wengine they only need an amazing sex, unaweza ukaolewa ukakosa hilo ndio ukajua kiasi gani umepoteza muda wako kuolewa na hitajika lako lisitimie! Unaishia kutafuta tena mwanamume Mashine halafu watu kiherehere cha kukusema bila kuelewa.
Sent from my SM-N900...
Ndio umshangae, 30 analia, angeombwa 300 angechanganyikiwa asielewe kuwa kwa nywele wala sio pesa ya kutosha wala kutisha, umasikini bwana, anataka amtongoze akiwa kapendeza lkn Hajui kugharamia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.