Haya yanayoendelea kutokea kwenye mchakato wa kupata katiba mpya ni matokeo ya dharau kutoka kwa serekali inayoongozwa na ccm juu ya huu waraka wa mtumishi wa Mungu Askofu Kakobe.Mm ningewashauri wakitaka katiba mpya ipatikane waurejee huu waraka na kuufanyia kazi.
Mkuu habari samahani nina Iphone 3G yangu nilijaribu ku-upgrade SW nikafika mahali ikawa inahitaji niwe kwenye WIFi ili iweze kumaliza hiyo upgrade,nikajaribu ku fall back imekataa nimeenda sehemu yenye wifi nimejaribu imegoma kabisa.Sasa ipo tu home.
Sent from my BlackBerry 8520 using...
Sure mkuu maana anasema wiki 2 baada ya kufanya mapenzi na huyo mwanaume wake akaenda kupima na kukutwa vvu sasa virusi gani vinaonekana baada ya wiki2?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.