marafiki, naombeni ushauri wa tiba ya meno ili kupunguza maumivu. nimemuona daktari mmoja akasema hayajafikia hatua ya kung'olewa (yapo mawili) ila alishauri nitumie dentamol tablets kutuliza maumivu, na nimetumia lkn maumivu yako pale pale
Wadau nisaidieni,
Meno yangu (magego mawili ya chini na juu) yanapata maumivu makali sana, lakini daktari aliyenifanyia check up amesema hayajafikia hatua ya kung'oa.
Kanishuri nitumie "Denatamol tablets" lakini hazijanisaidia.
NAOMBA USHAURI.
Hizi ni taarifa za kweli. Najua waliosema umekurupuka wameanza kuficha nyuso zao. We umeongea kwa takwimu. Wao ndio hawana uhakika. Ndio wamekurupuka kujibu bila kuingia kwenye vyanzo vingine vya taarifa
Tuone yatakayojiri. Then tutafanya maamuzi magumu. Kuna wengine wetu tumesha panga kufanya maamuzi magumu ambayo yatakua historia katika nchi hii, kwenye suala la mifuko ya hifadhi ya jamii.
Hili suala hakuna kulala, hadi keleweke. Mafao yetu wameshayachezea sana bila ridhaa ya wanachama. Sio kweli kwamba wafanyakazi wa sekta binafsi wamelala, ila wamekosa uwajibikaji wa pamoja kama wafnyakazi wa migodi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.