Naomba wasom wetu ndani ya chama wafikilie kuweka tv ya chadema ambayo inaweza ikawa inamilikiwa na chama moja kwa moja au watu binafsi kuficha identity......tunapata shida sisi wadau na hasa inapotokea issue ambayo ni sensitive........tv zilizopo hatuna imani nazo na habari wanazotoa kama...
Wilaya ya mbulu ambako ndio yuko waziri marmo mpaka sasa kati ya kata 32 tayari chadema wana kata 19 mfukoni na ndio tunasubiri huko kwingine!
Upande wa hanang ambako ndio yuko waziri nagu tayari nusu ya kata zote zimeshachukuliwa na mke wa zamani wa slaa kwa chadema ......bado kata za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.