Kumekuwa na mtazamo hasi ya kuwa " mtu asipojua Kuongea vizuri kiingereza basi watu wanamcheka na kumuona mjinga ata kama mtu uyo ni msomi sana ( daktari n.k ).
Mimi naona tunakosea sana, Kujua ama kutokujua lugha Fulani haiwezi kuwa kigezo cha kuitwa msomi au mjinga. Kiingereza ni lugha kubwa...
Naanza na Usemi usemao " Mwenye macho aambiwi tazama" Nina imani sote tuna macho na kwanjia moja au nyingine tumepata kujionea kile kinachofanywa na Raisi wetu Dr. John Pombe Magufuli
Licha ya kuhakikisha uchumi wetu unapanda lakini pia jitihada zake za kujenga taifa linalojitemea tunaziona...
Kiwanja kipo Umbali wa Mita 300 kutoka Barabara Kuu( Bagamoyo Road)
Kiwanja Kimepimwa na kina hati.
Ukubwa wa kiwanja ni Mita za Mraba 1200
Bei ni Tshs Milioni 250
Tuwasiliane: 0713226191 au 0752953860
Bei Tsh Milioni 70
Kuna Document ya Serikali ya Mtaa( Liseni Ya Makazi)
Zipo nyumba Mbili mbili Sehemu Moja, Nyumba Kubwa ya vyumba3 na ndogo ya Chumba kimoja ambayo haijamaliziwa.
Tuwasiliane: 0713226191 au 0752953860
Viwanja vimepimwa, vipo ukubwa tofauti tofauti. Kuna Kiwanja cha 450 sqm , 500sqm, 700sqm n.k
Ukinunua unasaidiwa kupata hati miliki.
Bei Tsh 18,000 Kwa Mita moja ya Mraba.
Kiwanja kipo Mtaa wa Muungano, Kilomita 1 kutoka kituo cha daladala mivumoni (daladala Zinapogeuzia).
Kiwanja kina ukubwa wa Mita za Mraba 2000, Kiwanja kinakatwa kama ifuatavyo:--
20Mita Kwa 20Mita = 8Milioni.
40Mita Kwa 20Mita = 16milioni.
40Mita Kwa 50Mita (Kiwanja Chote) = 40Milioni...
Unsurveyed plot for sale
plot size: Sqrm 400(20m*20m)
price: Milioni 7 (negotiable)
plot is about 150m distance from mainroad.
#contact 0752953860.
Note: Kiwanja hakina mgogoro wowote
Viwanja Vipo 4, kila kimoja kina ukubwa wa 20M*20M.Viwanja vyote vipo sehemu moja (uwanja umekatwa).
bei ya kiwanja kimoja yaani 20M*20M ni milioni7.
Document: serikali ya mtaa paper
Barabara ipo, Umbali toka barabara kubwa hadi kwenye kiwanja ni mita 100.
Umeme upo jirani na kiwanja.
direction...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.