:cool:Mtakumbuka vizuri kuwa Mashehe, maaskofu na wachungaji walihubiri muda wote wa kampeni na wengine kabla ya kampeni kwa waumini wao kuwa msiwachague viongozi mafisadi, chagueni viongozi wanaojali maslahii ya kitaifa, sasa kipimo cha ukomavu wa kiroho na dhamira njema ya kiungwana...
Vijana wengi walioandikishwa mwaka huu katika kituo cha Batist kata ya Kichangani Morogoro mjini majina yao hayakuonekana na baadhi yao wameambiwa warudu tu ni bahati mbaya! inakuwaje kwa taarifa zaidi ongea na mwanagu 0716697683 amekosa haki yake ya kupiga kura imeniuma sana:A S-baby:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.