Habari wakuu.
Nimekuwa kwenye mahusiano na huyu binti kwa zaidi ya mwaka mmoja na malengo yetu ni kufunga ndoa halali ya kanisani next year.
Changamoto kubwa niliyonayo ni usiri wa huyu binti kwenye simu yake. Kwa mwaka mzima nimefanikiwa kushika simu yake mara moja na nilikuta sms ya mapenzi...
Msaada wakuu. Hii simu bado mpya kabisa lakini nikiweka tathering na nikaconnect PC basi simu inapata moto vibaya sana.
Mwenye kujua tatizo anisaidie please
Habari zenu wakuu.
Naomba kwa wajuzi wa Kabila tajwa hapo juu wanijuze utaratibu wa kuoa Kibosho. Vitu kama mahari vinakuwaje ili angalau nipate mwanga kidogo.
Asanteni sana
Mrejesho
..................................................
Niliulizia kuhusu mahari lakini wadau wakaja na...
Mimi sio mgeni huku na nakiri kuwa hii ni ID yangu ya pili.
Umri na wakati wa kuoa umefika na naomba kutumia jukwaa hili kutafuta mwenza ikiwezekana mapema mwakani tufunge ndoa.
Sifa zangu ni kama ifuatavyo.
1. Me
2. 34 years
3. Maji ya kunde
4. Lutheran
5. Mfanyabiashara na mtafiti wa masoko...
Lutaingia Lita 2000
Halina demage yeyote
Halijawahi kutumika/Halijapauka
Limeshatobolewa cock ya kutolea maji.
Unaweza ukapata na sehemu ya pipe yake yenye urefu wa kama mita 4
Bei 200000
Karibuni PM tufanye biashara
Kipo Chanika mwisho eneo linaloitwa Gogo minazi mirefu.
Urefu ni meter 42, upana meter 25. Gari inafika na imezungukwa na fensi za ukuta mbili za majirani.
Bei ni million 5 kutoka Million 8 niliyotangaza hapo awali. Karibuni pm tufanye biashara.
Pia nimepata wazo mbadala la kukigawa hichi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.