Habari zenu ndugu na wanachama wenzangu wa hapa Jamiiforum?
Nimatumaini yangu kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu mmeamka salama,niwatakie jumapili njema nyote .
Nielekee moja kwa moja ktk mada kuu Kama kichwa Cha habari kinavyo jieleza,
Naomba kufahamu Sheria yetu ya hapa Tanzania inasemaje kwa...
Habari wadau wote wa JF ni matumaini yangu mko salama Kwa uwezo wake Mwenyezi mungu, heshima kwenu wote.
Naomba kuwasilisha swala hili mahali hapa kwani nafahamu humu Kuna watu walio yapitia mengi, hivyo wengi mnauzoefu wa maswala mengi.
Baada ya kuhitimu shahada yangu ya kwanza nili rejea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.