Receiver zipo aina mbalimbali na bei tofauti,mfano juzi kati nimenunua mediastar 4030 pro kwa 300k,ni bonge la decoder.ingia Google utapata sifa zake hapa nitajaza ukurasa kuielezea.ninachokipata kwa dekoda hii hata hawa akina azam naona kama uchaf tu.
Pesa x ni nyoko sana walinikopesha 10000 baada ya wiki 1 walianza kunipigia simu,kwa siku wananipigia zaidi ya watu 20 tofauti .walienda mbali wakawapigia hata waliokuwa wadhamini .niliwachelewesha makusudi ili niwakomeshe,sasa nilishawalipa na sina shida na mikopo yao.nikiwa na shida nasongesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.