Uozo bado upo mwingi sana kwenye budget ya serikali coz budget ipogo soo iflated sana kwa manufaa ya wapigaji anyways mwanzo mzuri mkuu wa kaya akiendelea na huu moto lazima kitaeleweka tu!!!
Police brutality at its best..ugaidi ni issue nzito sana sema hawakustahili kutendewa hivi na polisi kama ni kweli zichukuliwe hatua dhidi ya hawa polisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.