jamani naombeni namba ya simu ya uwongozi wa shule au mwalim yeyote wa mda wa shule,niweze kushilikian nao katika kumleta ndugu yangu kupiga kitabu hapo,,mchepuo wa PCM,,Natanguliza shukrani wakuu
mkuu naomba unisadie nambali ya sim ya wahusika wakuu wa njombe boyz,ili niweze fanya mikakati kwani nipo DSM, mkuwa nsaidie yani nipate kucontact nao mkubwa
wakuu mwenye uzoefu wa kufanya uwamisho wa shule namwitaji gharama ntatoa,,ni uamisho kutoka shule ya mabwe to kibaha au njombe high school,comb ni PCM,,,j
wakuu mwenje uzoefu wa kufanya uwamisho wa shule namwitaji gharama ntatoa,,ni uamisho kutoka shule ya mabwe to kibaha au njombe high school,comb ni PCM,,,
jamani nahitaji mtu wa kunishugulikia uwamisho awe ni mzoefu nianze masomo shule tu zitakapofunguliwa combinataion PCM kutoka mabwe high school to kibaha au njombe secondary
naweza kufanya uwamisho kuja njombe kwani nimepangiwa bweru sec comb PCM in rukwa,shule iko mbali sana sa nahiji soma njombe na ndo nlivyokuw natarajia mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.