Nitashangaa Skudu akiendelea kubaki Yanga msimu ujao.Jezi no.6 apewe Pacome.
Metacha Mnata hatakiwi tena kuendelea kuwa mchezaji wa Yanga.
Denis Nkane ni mchezaji wa timu ndogo,hana mentality ya kupigania namba timu kubwa.
Zawadi Mauya namkubali sana but imekuwa bahati mbaya hajaweza kukidhi...
Hakuna kilichobadilika practically juu ya msimamo wa awamu ya Magufuli na awamu ya Samia juu ya katiba mpya.Kinachonishangaza mimi ni mtu kuona msimamo wa katiba mpya awamu ya Magufuli ulikuwa sawa na huu wa Samia juu ya suala hilohilo,na ambao kimsingi ni msimamo uleule,eti haupo sawa...
Why asking me?I was trying to provide the data I thought it may help on the discussion basing on clinicality of Jota raised by @dongyi....You can provide tthe data you are asking as well,not necessary mel
E4444
So far Jota has played 1052 minutes in premier league with 9 goal this season
Nunez has played 1813 minutes in premier league with 11 goals this season...
At least one seems to be more clinical than the other here.....
So far Jota has played 1052 minutes in premier league with 9 goal...
Jifunze zaidi kuhusu sheria ya goli la ugenini.Hayo yote uliyoyasema sio ya kwelI.Ni tabia ya kupenda kuelekeza jambo bila kuwa na uelewa nalo.
Kama kitu hujui uwe unasema hujui.Ukijibu kama unajua uwe unajua kwa uhakika unaotokana na kujielimisha sio kwa kubumba au kwa hisia zako tu.....
Kutofunga magoli mengi sio sawasawa na kukosa magoli mengi!
Firmino hakufunga magoli mengi ila his style of play ilikuwa zaidi kucreate chances nyingi kwa wengine(Salah,Mane),kuwalink hawa wide players na kufanya front three yetu itishe dunia nzima.
Firmino ndiye alikuwa mchezaji muhimu zaidi...
Yes Watkins ni 29 next year....
Yes Watkins anatokea mid table team...hata Mane,VVD etc walitokea huko
At 24 alikuwa championship,haifuti fact kwamba tangu msimu uliopita ana numbers nzuri kuliko Nunez...
15 goals plus 6 assists are better numbers than 9 goals plus 3 assists kwa msimu...
Abaki huko au asibaki haibadilishi nilichokisema kuwa Watkins ni bonge la striker...Hayo mengine sijui MPO njema au HAMPO ni yako...my statement was just simple...Watkins ni bonge moja la striker
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.