Raisi wa tanzania kuanzia wiki ijayo dr wilbroad slaa akizungumza katika mdahalo wa leo amesema katika swala la ufisadi na mafisadi hakuna mtu/fisadi atakayeachwa"kila jiwe litageuzwa,"no stone will remain unturned" na pia ameongeza kuwa watanzania wakichagua ccm ni maafa'
Ccm kweli majuha eti kinana na makamba wametangaz mdahalo wao jumapili ijayo baada ya uchaguzi kuwashukuru wananchi kwa kuwachagua ???nani kasema tutawachagua ccm jamani hawa jamaa mbona wanatuchokoza??
Kwanza jamaa wenyewe wamechoka mbaya sijui hawajioni?watz wengine akili zao kama mbuzi tuu,wachafu wanapiga miyao tuu eti wanagawa fulana ili kupata idadi ya wanaccm pumbafuuuuuuuuuuuuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.