Salama wadau,
Nahitaji Compressor used kwa ajili ya shughuli za machimbo. Karibuni uniambie uwezo wake, aina na bei unayouza.
Jambo hili ni serious.
Contact: 0765999539
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha ni nyumba. Nyumba bora yenye viwango itakufanya uishi kwa furaha. Kwa nini upoteze furaha na fedha zako kwa kuezekea mabati yanayopauka kwa muda mfupi?
Njoo Ando Roofing Products uchague coil uipendayo kisha utolewe mabati safi yenye guarantee ya hadi miaka 5.
Zipo pia rangi za marble...
You can't stand for sure to prove the assumptions that nurture shapes women separately. Nature and nurture have to work interchangeably as works in men. The challenges arise during developmental stages.
Mimi sasa,
Mwaka 2008 nikiwa Tanga. Jioni nilitoka kazini nikawa nimekaa mbele ya nyumba ambapo baba mwenye nyumba alikuwa na kibanda cha chips.
Mara ooooh! Akanambia kuna Dada kabila langu amepanga jizi hapo jirani. Nikaona siyo mbaya nimwendee tufahamiane. Nilikuta bonge la demu...
Nilipokuwa kijana niliapa kutokuoa single mother. Kuna mama wa Mtwara (alikuwa na mtoto 1 wa kike) alininipenda sana ila nilikataa kumuoa. Haiwezekani uibe mpaka ukutwe na kidhibiti red handed.
Nilimpata binti 1 tukaenda kwa wazazi hadi ndoa kanisani. Amenizalia watoto 2 mpaka sasa nina familia...
Kisasi! Visasi! Sijui kama tabia hii inakubalika kwenye nyumba zetu za ibada ambapo tumezoea kukimbilia huko kumwona aliye juu zaidi.
Inanipa nafasi ya kufikiria upya maana sahihi ya watu kuwa eneo hilo huku masharti mepesi yakishindikana kutimizwa.
Kuna mwalimu anadai muda mrefu na profile yake Watumishi portal inaonesha anapaswa kulipwa. Juzi jina lake halikutoka kwa watakaolipwa. Mawazo aliyonayo ni makubwa. Kusema kweli, jambo hili linakatisha wafanyakazi tamaa
Niliandika kutoka rohoni mwangu. Kiki ni maneno yenu mapya ambayo sina kwenye kamusi yangu. Hizo ndo hisia zangu wala sihitaji kutuzwa na mtu yeyote. Unafiki utaua taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.