Ni master na vyumba viwili,kuna jiko,maji,umeme na car parking bei Ni Laki 3 kwa miezi 6.
Na pia kuna nyumba maeneo ya kijitonyama,mbezi africana,masaki nk kwa
mawasiliano piga Au sms namba 0713 912577
Sinza
Mbezi africana
Kijitonyama Laki 3 kwa Mwezi kwa miezi 8
Salaam wanajf;
Chuo hiki pamoja na kuwa ni cha dini lakini wamekosa ubinadam kiasi kwamba ni wiki ya tatu sasa tumesaini mkopo,hatujapewa hela zetu japo bodi wamesha toa cheque tangia tarehe 10...magufuli mulika chuo hiki pia watu wanateseka bila sababu.
Inakera sana
update:
boom limetoka...
MOYO huhifadhi mengi mazito hasa ya kuumiza! Staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe amejikuta akimwaga machozi wakati akianika siri tano nzito kuhusu mapenzi katika mahojiano (exclusive interview) na Amani kwa takriban saa mbili.
Wolper akifunguka ndani ya Ofisi za Global...
Salaam wanajf
Najua kunawatu wengi walipangiwa programme na TCU ambazo hawakuzipenda,Ama walichagua programme priority kwa mategemeo ya kupata Mkopo ili wakifika chuoni kubadili programme waliyopangiwa na TCU chuoni..
swali ni je, kwa faida ya wanaJf wanaotegemea kudahiliwa kipindi hiki cha...
Salaam wanajf..
Wote tunakumbuka marufuku iliyotolewa na jeshi la polisi,kupitia kwa Kamishna Chagonja na Kamanda Kova kuhusu maandamano ya vyama vya siasa nchini kuelekea kwenye kampeni..
chakushangaza leo CCM inafungua kampeni zake pale jangwani na kuna maandamano ya magari na wanaccm...
Salaam wanajf..
Baada ya kukosea kununua vocha ya TCU nikanunua ya NACTE takribani wiki 2 zilizopita na kuwapigia wahusika bila mafanikio.. nimeamua kuuza vocha hiyo kwa bei nafuu zaidi..naomba kwa mtu anayeitaka anitumie meseji PM.
asante
Salaam wanajf;
Leo nilitaka kununua voucher ya TCU kwa bahati mbaya nikakosea nikanunua ya NACTE..please mwenye kuhitaji voucher hii hata kwa Elfu 40 au tubadilishane anipigie..
Namba ni 0673 354881
Nawasilisha
Wasalam wanajf.
mimi nimemaliza form six 2011 nilipata Economics-D,Geography-E,na A/maths-E,Gs-S.Div III-14.je naweza kupata kusoma ardhi university nikapata mkopo?
Naombeni mnisaidie wakubwa zangu na wenyeuelewa na hili.mtaani kubaya jamani bila elimu.
ASANTENI NAOMBA MAONO YENU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.