Guys,mimi mwenyewe nilikuwa nimeomba kazi jamaa wanaitwa Joint Donor Team,wakaniomba nisubmit hiyo Test na kunidirect niwasiliane na jamaa wanaitwa Govran Centre, Daah hawa jamaa kumbe ni matapeli?
Ahsante JF kwa kutujuza,vinginevyo mtu unaibiwa hivi hivi.
Mwanzo 1:1-31,2:1-4. inaeleza juu ya uumbaji
Ndugu zangu kila kitu kina muongozo wake mfano gari linapotengenezwa linakuwa na manual yake pia ulimwengu una manual yake nayo ni Biblia,ukimwomba Roho Mtakatifu kabla ya kusoma neno la Mungu,utapata kufahamu nini makusudi ya kuumbwa wanadamu na...
Nafikiri anasoma maana JF watu wengi wanaitumia kupata habari na jinsi watu wanavyo chambua hoja,nafikiri kitu muhimu ni kuifanya JF ibaki kuwa sehemu ya Great Thinkers na kuacha mizaha na masihala.
Kwa kweli uliyeanzisha mada ulikuwa na swali kama langu,haiwezekani kwa namna yoyote ile hela ambazo zimeamriwa ijumaa zitumike kwa matumizi tofauti na yale yaliyokusudiwa awali tena ya procurement kubwa kama ile then after 1 day vitu viwe supplied that is not possible at all na ukiwa kama...
Dah!!!!!!!!! kwa kweli inabidi tuzidi kumuomba Mungu atuepushe mbali. I wish baba wa Taifa angekuwepo maana alikuwa anaogopwa akisema kitu watu wana tii.
Hongera CHADEMA Hongera Joshua hongereni timu nzima ya Chadema tuzidi kushikamana kuhakikisha mwaka 2015 majimbo zaidi ya 200 yawe mikononi mwa Chadema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.