Natafuta mwanamke humu kwa ajili ya mahusiano ya muda mrefu ya kimapenzi.
Awe na umri usiozidi miaka 35.
Awe ni mtanzania anayeishi Dar au awe anapenda kuishi Dar.
Awe hajaolewa wala juzaa.
Mwenye sifa hizo
Karibu
Natafuta mwanamke kwa ajili mahusiano ya muda mrefu ya kimapenzi na awe yuko huru,umri asizidi miaka 35.Awe ni mtanzania anayeishi au yuko tayari kuishi Dar.Awe mkristo hai anayemcha Mungu.Maombi yatumwe:jamaajamii@gmail.com
Kuna watu humu hawana wenza. Namaanisha hajaolewa au kuoa na hawana wapenzi wa kuaminika au wa kudumu.Sasa kwanini wasitafute humu wachumba ili kumaliza tatizo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.