Mkuu ufafanuzi kidogo unahitajika hapa. Hiyo barabara ya mwendokasi abiria watapanda na kushukia wapi? Sioni sehemu ya kujenga kituo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa unatokea maeneo ya kibamba, mbezi , kimara ungekuwa unaelewa umuhimu wa barabara hii. Je unafafamu kila asubuhi saa 1 polisi hulazimika kuzuia magari yaendayo mikoani eneo la kimara mwisho kupisha njia mbili kwa magari yatokayo mbezi?
Wakuu msaada kwa anaefahamu TTCL mobile (CDMA) internet settings.
Nina router inayotumia CDMA sim card ambayo haikutoka TTCL kwa hiyo haina settings.
Kama una modem ya USB unaweza kuzipata kirahisi zaidi.
Nahitaji hizo settings ili router iweze kufanya kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.