Huyu lisssu atakuwa na kichaa cha mbwa ,vp kuhusu tuhuma za lowassa mbona walimteua kuwa mgombea urais kupitia ukawa na chadema, vp leo atuambie muhongo fisadi kama anaushahidi aende mahakamani...
Ndio maana wanaitwa malofa hawa jamaa
Kweli nyie ni Nyumbu fuata upepo,si mlisema hata malaika akiingia CCM hawezi badirika atakuwa kama waliomtangulia !...
Shame on you Nyumbu wa ufipa....
Leo mnaongea nn?...
Broh huna namna ya kumsaidia huyu,ila kimsingi watu kama huyu jamaa mtoa post walistahili kunyongwa moka and kufa ili wasiwaambukize wengine ujinga huu,....
Mfuatilieni hittler aliwafanya nn wakwepa kodi na mao wa china aliwafanya nn wakwepa kodi ...
Viva Magufuri live long father....
Duuuu mleta uzi upo sawa kabisa,....mi nasubiri uchaguzi wa mwenyekiti ndani ya chadema 😃😃. Lazima kuna mtu ndani ya chadema atafukuzwa tuuu ,
So kama majaliwa anachofanya sio good governance vipi hao maofisa wa bandarini na TRL wanachofanya ni sawa?...
Na usitegemee hata siku moja kwa nchi yetu ilipofika tutakombolewa kwa good governance ...
Magufuri anajenga nchi kwanza na kurudisha maadili ya kiuongozi yaliyopotea kwa muda mrefu na baada ya hapo tutegemee kuvuna matunda..........
Hata wakenya wamemilitambua hilo....!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.