Kwa kauli hizi, elimu ya Tanzania ina matatizo ya muda mrefu si aliyoyaonesha Dr. Ndalichako mwaka huu pekee, ila hata kwenye vyuo vikuu kuna div. 0 nyingi zilipata digrii
Msogo wa mawazo au aina ya dawa zinaweza kuleta mparaganyiko wa hormones na kusababisha hali hiyo. Tanzania lazima wakupime mimba kwani kutokwa maziwa kunahusianishwa na mimba. Madaktari bingwa wa JF watasaidia zaidi hapa
Profesa akiwa na akili sana Tanzania anaishia kupewa vyeo vya kisiasa, ukikosea njia kidogo unaishia kuwa wa hovyo (kama baadhi yao walivyo sasa), bora ujifanje profesa zuzu uendelee kuganga njaa lol
Tatizo kubwa ni kwa waliodhalilisha mamlaka ya urasi wa Jamhuri ya watu wa Tanganyika kufikia hatua ya kuwaona Watanganyika 'washamba' pale wanapohoji aina na malengo ya 'udikteta' wa vijana wanaotaka kuumeesha kwa kivuli cha ujana. Who said we need our president to swim in all valleys, lakes...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.