Pole sana kwa uhitaji huo mzuri lakini usikate tamaa bado unanafasi nzuri tu ya kuolewa na endelea kumwomba MUNGU.. na kumbuka kila jambo lina wakati wake,,,,,, lakini msingi mzuri wa ndoa takatifu ni kuishi maisha ya kujitunza kama binti na kama kijana wa kiume pia.... na MUNGU atakupa...
NDUGU YANGU POLE SANA LAKINI YUPO ANAYEWE KUKUPONYA SASA..
NI YESU KRISTO PEKEE NDIYE AWEZAYE KUKUPONYA SASA,
CHUKUA HATUA YA KWENDA KUOMBEWA KAMA BADO HUNA YESU NA KAMA UNA YESU TENGA MUDA WA KUOMBA ATAKUPONYA
Kila mtanzania anajukumu la kuiombea nchi yetu ya Tanzania ili tupate viongozi sahihi ambao MUNGU amekusudia waiongoze nchi yetu ya Tanzania. Kwa awamu hii.
Hii katiba mpya kwann wasiiache kwanza ili waendeleee kutafakari taratibu?,,,watanzania tambueni kwamba ni jambo la muhimu sana na la msingi sana,,,,,just think,,,,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.