Wana JF, habari ni za siku nyingi. Mradi wetu Mifugo na KILIMO sasa unataka kujipanua hadi kufikia kilimomazingira. Tutajikita katika kilimo mazao, misitu, Nyuki, samaki na usindikaji wa mazao mbalimbali yatakayozalishwa na mradi wetu. Kwenye kuweza kutusaidia kupata mhisani (Granter) atujuze...
PBC Ltd ni kampuni mpya ya ushairi wa ununuzi na biashara. Tuko Tabora manispaa. Tunatafuta wataalamu wenye uwezo katika fani ya ununuzi (Procurement) na uhasibu (Accountancy)
Sifa:
Kwa upande wa Procurement; Mtaalamu awe na uwezo wa kuichambua na kuielewa vizuri Sheria ya manunuzi ya umma ya...
Habari za siku nyingi wana JF
Nataka kupack bidhaa za chakula, hivyo basi natafuta mtaalamu wa kutengeneza stixkers ili nibandike nembo na maelezo ya vidhaa zangu kibiashara. Kana uko tayari piga sasa nivi 0764 601903
Wana JF....Habarini
Mimi nataka kuwa mkulima mzuri wa mhogo na nataka kuuza unga wa mhogo ulio mweupe kama unga wa ngano (Kivunde).....Nipeni sasa soko lake ikiwezekana na bei ya kila mahali ili tufanye biashara. Kwa sasa ninao kiasi wenye kutaka tuwasiliane Na. 0764 601903. UTAFURAHI..
Habari za siku nyingi wadau. Nina kijana mtaalamu mzuri wa kuendesha Excavetor kama unamhitaji kumpa ajira piga sasa hivi namba 0764601903 au 0784325436. Watu hawa ni nadra sana kuwapata,utakuwa umepata bahati kubwa. KARIBUNI
Habari za muda wadau wangu... Nawatangazia kuwa ninauza viwanja viko mjini wilayani Chato kingine kizuri sana kinatazama ziwa Victoria. Fanya mawasiliano haraka kwa Na. 0764601903 ndani ya siku tatu... Chato inafunguka kwa kasi ya ajabu.... Viwanja hivi vinafaa kwa biashara (Mahoteli) na...
Mtaalamu wa kuuza Duka la Madawa ya mifugo anahitajika haraka sana. Awe na sifa zifuatazo: Awe na Certificate ya Animal Health and production kutoka Chuo kinachotambulika PIGA SASA HIVI SIMU NA. 0764 601903
Mwanangu sasa amemaliza shahada ya kwanza ya sharia katika Chuo cha SAUT Mwanza. Kwa yeyote mwenye kuhitaji mwanasheria anipiige moja kwa moja namba 0764 601903.
Yuko tayari kufanya kazi ya sharia popote Tanzania.
KARIBUNI!
Wana JF Shaloom,
Ninatafuta wafanyakazi wawili wa kudumu watakaokaa shambani na familia zao kwa ajili ya kazi mbalimbali na vibarua vya shambani. Malipo yataendana na kazi au vibarua watakavyofanya (Vibarua na kazi shambani ni nyingi sana). Nyumba ya kukaa ya familia na maji watapewa bure...
Natafuta mtaalamu wa Mifugo na Kilimo kwa ajili ya kuuza duka la madawa ya mifugo na pembejeo za kilimo.
Niko Tabora.
Awe na sifa ya uzoefu na elimu ya taaluma angalao awe na Cheti cha Animal Health and Production au General Agriculture Piga moja kwa moja sasa kwenye Na. 0764 601903 kwa...
Wana JF,
Mimi natafuta mwanamke mfanyabiashara fundi wa kupika supu ya kuku wa kienyeji na awe mtaalamu wa kupika mchemsho wa kuku uliochanganywa na karanga viazi mviringo au ndizi.
Utaalamu wake uambatane na utengenezaji mzuri wa chapatti na maandazi. Atapewa malipo mazuri. Kazi hiyo...
Wana JF,
Mimi natafuta mwanamke mfanyabiashara fundi wa kupika supu ya kuku wa kienyeji na awe mtaalamu wa kupika mchemsho wa kuku uliochanganywa na karanga viazi mviringo au ndizi.
Utaalamu wake uambatane na utengenezaji mzuri wa chapatti na maandazi. Atapewa malipo mazuri. Kazi hiyo...
Wana JF,
Kwa mara nyingine naomba mnijuze soko la Komamanga na Njugu. Mimi ni mkulima kwa sassa nina njugu za kutosha lakini pia natarajia kuwa na kilimo kikubwa cha Komamanga mwakani. Nawaombeni mnipe mrejesho wa masoko ya mazao hayo tafadhali.
Nasubiri mawazo mwenzenu
Mimi ni mkulima wa matunda mbalimbali. Nataka kulima Komamanga, nauliza kilimo hicho kitanitoa? Soko lipo? na kama una uhakika wa soko hilo nijulishe tafadhali.
Hello JF,
Ninatafuta Farm Manager kwa ajili ya usimamizi wa mradi wa shamba ulioko Tabora Kipalapala Matankini.
SIFA: Awe na Elimu ya Form Four na utaalamu ngazi ya cheti katika fani ya Kilimo na Mifugo na uzoefu wa angalao miaka miwili na kuendelea. Asiwe mlevi bali awe mwaminifu. Awe na...
Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji niko Tabora Kipalapala -Matankini. Ninao kuku wa kutosha kuuza kuku 200 kwa wiki. Kama unaona unaweza kuwa Mnunuzi wangu tafadhali tuwasiliane kwa namba 0764601903.
Kuku wetu ni wazuri sana maana tunawalisha na kuwapa nafasi kujitafutia chakula chao wenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.