wameruhusiwa kuuza mafuta kwa kununua kutoka kwenye makampuni mengine lakini si BP yao. kwa hiyo BP watakuwa hawauzi unleaded.Ila sidhani kama BP wenyewe wanakubaliana na hili kuuza mafuta ya makampuni mengine.
nahisi mzee punch huifahamu harrier vizuri ni hivi harrier zipo za cc 3000, cc 2200 na cc 2400 na pia kuna yenye 4*4 full time na 2 wheel drive, ya cc 3000 usiiguse kama hela yako ya mawazo, ila cc 2200 consumption yake ni ndogo mno ni kama RAV 4,huwa naendesha nakwenda nayo moro na kurudi...
nahisi mzee punch huifahamu harrier vizuri ni hivi harrier zipo za cc 3000, cc 2200 na cc 2400 na pia kuna yenye 4*4 full time na 2 wheel drive, ya cc 3000 usiiguse kama hela yako ya mawazo, ila cc 2200 consumption yake ni ndogo mno ni kama RAV 4,huwa naendesha nakwenda nayo moro na kurudi dsm...
popote pale kunapokuwa na group kubwa ya watu sasa hivi Tanzania ukianzishwa mjadala kuhusu serikali ya kikwete watu huwa wanaropoka, watu wameelewa maana hata hao ccm wenyewe wanaona wameingia chaka.
jamaa wamekuwa fasta kupandisha eti baada ya taarifa ya habari TBC nimepita lake oil ya kijichi wameshaweka bei mpya wakati walmesema bei inaanza kutumia kesho, bongo kweli noma.hakuna utaratibu kabisa
Nchi kwisha habari yake mtemvu anasema wamemsaidia mke wa masaburi kupata ubunge wa africa mashariki na hao waliosaidia leo hii wanabezwa na kutengenezewa kashfa. kumbe nchi hii ili upate cheo lazima ufahamike shenzi kabisa usipokuwa na network hata ubunge wa ndani ya nchii hii kumbe hupati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.