Ulichosema ni sahihi kabsa,alfu mi nasema kila siku kama hauko connected na watu uwezi kufanikiwa kwa haraka mtu una blog yako ata rafiki zako awajui sasa utafanikiwa vipi? Ujajiunganisha na bloggers wezio huna social network dah!
Sikiliza Tzgospel Radio hapa Tzgospel Radio
Tuna habari kutoka...
Bado blog ni deal maana ata wazungua wanaamini sana blog sema wao blog zao zime base upende mmoja,mfano blog ya afya inabidi Taarifa zote za afya uwe nazo na uchambuzi wakina hii itakusaidia kupata matangazo la afya na inakubidi uwe connected na watu kuna dada ana blog ya afya uwezi amini...
Niliwasiliana na bro kuhusu kunisaidia kuweka radio yetu Tzgospel Radio Tzgospel Radio satellite alinipa ushirikiano wa kutosha na mwongozo ilikua ni vibali pekee tu nimekaribia kukamilisha kaka umeenda kaka umeendaa!
Ungesubiri basi radio iingie kwenye satellite
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.