Binafsi naona km wengi wameguswa na jinsi nchi yetu inavyotafunwa na mafisadi, tatizo langu ni competence kwa utitiri wa wagombea waliojitokeza pamoja na kutojiandaa. Mathalan mgombea wa kiti cha urais kushindwa kumpa hata mzazi wake elimu ya uraia pengine hata tu kujua mwanae anagombea urais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.