habar wanajamvi,.. nimemaliza diploma ya sheria chuo cha uongozi wa mahakama mwaka 2014 huu. natafuta kazi yoyote itakayotaka vigezo vya diploma ya sheria. tafadhali naomba msaada wenu sana.
nitumie optmizer gani bomba?? kwa toshiba win 7 ultmat... na key zake itasaidia zaidi.. au kama in crakika!!
naamini mabingwa wa humu ndani hakuna popote!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.