Tume ya Jaji Warioba iliona hili. Ndio maana ikapendekeza Serikali Tatu. Kwa mfumo wa sasa wa Muungano, ambamo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mdiye pia Rais wa Tanganyika au Tanzania Bara haiwezekani Mzanzibari awe rais wa JMT. Haiwezekani
Wala wabunge wa Bunge Maalum la Katiba wasipandishe presha. Waseme tu na wawe na msimamo kuwa:
1. Kwa kuwa Serikali ya Muungano pia ndiyo Serikali yaTanzania Bara au Tanganyika, lazima Rais wa muungano awe Mtanganyika yaani aliyezaliwa Tanzania Bara na ambaye sio Mzanzibari. Vinginevyo...
Wazanzibari hawatamkubali.
Isitoshe, ikiwa serikali ya muungano pia ndiyo serikali ya tanganyika inakuwaje kiongozi wa serikali ya tanganyika atoke zanzibar?
Tafuteni mwingine kwa ccm
Watu kama kina asha rose migiro hawajawahi kugombea hata nafasi ya ujumbe wa nyumba kumi na kushindanishwa na...
Asha Rose Migiro hajawahi kuchaguliwa kwa kura hata kuongoza kata. Ni Mtu wa kubebwa tu. Aliingia Bungeni kupitia nafasi za wanawake wa kundi maalum Vyuo Vikuu; nafasi ambayo sasa anaishikilia Dr Fennella Mukangara, Waziri wa Habari.
Kuna wanawake wengi ndani ya CCM wenye uwezo, azma na nia ya...
Sio TBC tu. Angalieni hata magazeti ya Serikali ya Daily News na Habarileo. Mvuto umekwisha tangu Mruma alipoondoka. Hivi yuko wapi? KUna mwenye taarifa?
Wakati mwingine lazima tukae chini tujiulize, tutafakari mambo yafuatayo:
Kwanza: Tunaambiwa Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Pili: Tunaambiwa kuna nchi inaitwa Zanzibar
Tatu: Tunaambiwa kuna watu wanaitwa Wazanzibari. Kwa hiyo kimantiki tu ni kuwa kuna Watanzania ambao sio...
Hivi waandishi wa habari tumefikia wapi hadi kuandika maoni kwenye story.
.......which saw it receive a whopping 65bn/- (USD 50 million.Hiyo kwenye red ni opinion.
Nadhani ni kwa interest ya Wazanzibari kuwa kuwe ka Serikali ya Tanzania, vinginevyo iwapo serikali ya Muungano ndiyo hiyo hiyo serikali ya Tanganyika, haiwezekani basi Mzanzibari kuwa Rais wa Serikali hiyo kwani atakuwa Rais wa Tanganyika pia. Nadhani wanaobisha hawajaliona hili kwa upeo. Kama...
Yaani Watanzania wameenda Geneva kumwonyesha Mtanzania mwenzao yanayofanyika hapa Tanzania? Tungeonyeshwa viongozi wa mataifa mengine wakiwa kwenye hilo banda.
Mpigie simu mdau Bwana Isaac Mruma, nadhani namba yake ni 0786406340 ana uzoefu na amefanya shughuli hizo muda mrefu na amesaidia wengi. Au pitia tovuti ya Media Partners Mediacom Partners » Strategic Communication, Public Relations,Media development uone kazi wanazofanya na namna watakavyoweza...
Wandugu nimesoma makala haya kwenye tovuti ya Shirika la Habari Vijijini Tanzania Shihata
Igunga na fumbo la imani vijijini
Na Mwandishi Wetu, Igunga
VUMBI, upepo na baridi ni mambo unayotakiwa kuyazoea uwapo katika Wilaya ya Igunga.
Jioni moja katikati ya Julai mwaka huu...
Tuma namba yako ya simu kwenye email address hizi: info@mediapartners.co.tz na info@shihata.co.z au piga simu 0736501680 au 0737182930 uache namba yako ya simu kwa atakayepokea. Pia tembelea Mediacom Partners » Strategic Communication, Public Relations,Media development au Shihata uone...
Kwa mtu mwenye akili timamu, ni dhahiri kwamba habari ya mmilki feki wa Dowans ilikuwa na kasoro nyingi za kiuandishi. Hata magazeti yaliyo makini kama Mwananchi yaliingizwa mkenge na kuwa na ushabiki. Eti mtu anakuambia anamilki kampuni yenye hadhi kubwa duniani halafu anasema hataki apigwe...
Ni gari zuri. Wala usijali kuliendesha iwapo wenzako wanayo magari 'makali'. Full tenki ni wiki nzima hata kama unaishi Mbezi Beach na kufanya kazi Kariakoo. Ila nunua EP 91 ndiyo latest.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.