Wish ningeona picha za hicho unachokisema (ili niseme kama ni kitu kinachoweza kurekebishika hapa bongo au la...)...kama unaweza nitumie kupitia "drberno@gmail.com" au kama anapatikana maeneo ya kanda ya ziwa mlete Bugando hospital, idara ya kina mama utanikuta,tuwasiliane mkuu kama kweli uko...
GlanzaS for sell 5 months in Tanzania,driven by a lady...alloy wheel,jvc music and subwoofer.
Serviced on time....asking price 10.5M.......Contact 0713 123 673
TOYOTA HARRIER LEXUS, black (95,200 KM mileage) na RAV4 L, pearly white (92,100 KM mileage)...for sale! Both in good condition, they are at Mwanza. contact 0715/767- 483 570
Toyota Passo for sale...2005, KGC15-0019152, AHSBK, engine model 1KR FE 0179953. Cc 990 petrol, 92500 milege, white colour..serious buyer plz (0715/0767-483570)
hakuna kisichokuwa na madhara,hata chakula chenyewe kina madhara (kilichopo ni kuthaminisha kati ya faida na madhara kipi kinabeba uzito zaidi)...thats why mi nimemshauri aonane na madaktari bingwa wa mambo ya uzazi,wao wana nafasi ya kumweleza faida na madhara yote yanayohusiana na hizo dawa...
dawa zipo (mf "clomiphen") lkn ni vzr huyo rafiki yako aonane na dr kwnz kabla ya kuanza kizitumia ili apewe elimu tosha ya hz dawa...anaishi wp huyo rafiki wako?
kwa maelezo yako yaonesha hiyo yawezakuwa ni umbilical hernia(kama ambavyo wengine wametangulia kusema)!
matibabu:
kama tundu lake ni dogo chini ya sentimeta 4 linauwezekano wa kujifunga by the age of 4yrs!
otherwise to the above statement..upasuaji unaweza kuhitajika
ni bora ukaonane na dr ili...
Hilo tatizo huwa linasababishwa kwa asilimia kubwa na kupasuka kwa 'layer' nyembamba ya ngozi (skin) inayoitwa "acid mantle".Hii huletwa na mabadiliko ya 'hormones' yanayotokea wkt wa hedhi.
JINSI YA KUJIKINGA: aepuke kula vyakula vyny mafuta sana(hasa ya wanyama),ale mboga za...
Daah,aisee pole sana..vikundi vya maana kwny facebook vinaundwa na waliofahamiana tk zamani tu either skul mates/staff mates etc lkn hawa wa kukutana tu ndani ya facebuk kaka ni umalaya tupu uliokithiri..watu washaibiwa sana wake na waume zao kwa njia hyhy uloelezea humo humo facebook kaka! Pole...
You can't believe that circumstances have conspired to make your loving wife cheat on you and risk your marriage by doing so. You never thought she would be capable of such an act. Not only do you feel betrayed because she turned to another man but you also feel betrayed because she did...
When a man steals your wife, there is no better revenge than to let him keep her.
Lee Majors
After marriage, husband and wife become two sides of a coin; they just can't face each other, but still they stay together.
Al Gore
By all means marry. If you get a good wife, you'll be happy. If...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.