nyie hpa bishaneni mara ya demu wake or ya frank mwisho wa cku yy ndiyo ajuaye ukweli nyie mtaishia kurukaruka hmu yy saizi anakula zake bta huko hta wacwac hana hya kazi kwenu
Pole saana my mda mwingine mtu huoa au kuolewa na mtu ambaye c chaguo lake lkn mwisho wa cku huzoea nakupenda pia inawezekana ww ulimchagua yy awe husb to be wako lkn yy hakukuchagua cha mcngi mama omba saana kwa mungu akupe mume mwema naiman furaha yako itarejea best of lucky
Kuna uitaji wa kiheshima kweli unaweza mtu ukamckila kwa sababu c unapoitwa na kila mwanaume bac atataka kukutongoza wengine labda wanata kukuuliza tu sasa bac kuna uitaji ule wa kiuni utaitika kweli wito?
Ngoja niwaambieni kitu kuna uitaji wa heshima jaman cyo ule wa dharau unakuta amekaa na wenzie anaanza kutaja majina ya ajabu ajabu sasa hpo mtu utaika kweli wito?
Habari za asubuhi
Jamani hii tabii ya wanaume kuwatukana wanawake itaisha lini utakuta mwanaume mzima na akili zake anamtukana mwanamke kisa tu amekataa kumsikiliza kwa stahili hii mtaishia kuona tu.
NB: Ni baadhi ya wanaume siyo wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.