Siku ukijua kwa nini Africa ilitawaliwa kirahisi na kuwa enslaved hutowaza mara mbili.. Ngozi nyeusi sisi tunapungukiwa sifa za binadamu kamili mwenye utashi
Kila siku nasikia viongozi wanapongezana wanafanya kazi nzuri sana sasa iweje hawapende katiba mpya? mtu kama ni mwema hana haja ya kuwa na hofu na sheria kali
Kwa kweli inabidi tutafakari sana, yalivyokuja mapinduzi ya viwanda kawakutaka kuleta huku ndio kwanza ata wagunduzi wetu walikatwa mikono lakini Africa hii kila kijiji haijalishi kipo mbali kiasi gani lazima awe mkristo au mwislam
Hayo unayosema Nyerere aliyasemea wapi ndugu yangu? tupe ata nukuu tukasome!! Hayo makabila uliyotaja jumlisha wahaya ndio watu walioelimika na yaliendelea angalau, sasa kulingana na poverty mentality yetu kuwa makabila madogo sijui ndio nn sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.