Wadau wa mziki hapa nchini kuna wanamziki wengi vilevile na wasanii kibao ambao ndo wengi zaidi. Kiboko yaoni kundi linaitwa WAMWIDUKA BAND wanamziki wa tanzania wasiojua mziki wakasome kwa hawa watoto.
Ali kiba, Diamond na wengine mkajifunze mziki kwa hawa watoto sitanii huu ni ukweli...
Mkuu kiukweli ulichoandika kimenitia simanzi.
Mimi na ww tunawajibu wa kufanya mageuzi katika nchi yetu. vinginevyo tutaumia.
Hivi ikiwa miradi inayotekelezwa ipo chini ya kiwango nani atahoji maana rais wetu keshasema yy ni jiwe.
26/4 inatuhusu
Hakika tz hakuna bunge. muda mwingingine inatia huzuni . Kama huyo ni mbunge ambae wajibu wake ni kusimamia serikali.
What's do you expecting ? Maandamano ya mange muhimu sana . Leo natangaza rasmi kuwa 26/4 nitaingia barabarani.
pasco mayalla upon apo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.