Nina simu yangu Huawei Ascend Y530 ina 4gb internal storage capacity ila inaonesha kwamba no enough storage masaa yote....nimerestore mara nyingi tu lkn baada ya cku mbili inaonesha no enough space in your internal storage. Wajuzi tafaadhal niambieni nn cha kufanya.
Kwa wale tulioko Moshi em tuelekezane mitaa, club, gardens, au sehem zozote nzuri kufanya mtoko jumatatu hii ya Sikukuu ya Krismas.
.
Mimi ntakuwa pale Mekuz Bistro, iko karibu na roundabout ya Arusha, njia inayoelekea Shanti.
IN SUMMARY
Mchungaji wa kanisa hilo, Thomas Kipemba amesema licha ya kuporomoka kuta zake ambazo ziliwekewa nondo laini, litajengwa jingine kwa michango ya waumini zaidi ya 900 wanaoishi mji wa Muleba.
Ngara. Kanisa Kuu la Pentekoste katika Mamlaka ya Mji Muleba mkoani Kagera, ambalo lilikuwa...
List ya nchi zenye usalama zaidi duniani kwa mwaka 2016 imetoka hivi karibuni ambapo nchi 11 zimetajwa kuongoza kwa kuwa na usalama na amani zaidi.
List hiyo ilihusisha mataifa 163 ambapoilijulikana yale yanayoongoza kwa amani na usalama pamoja na yale ambayo ni hatari zaidi kuishi kutokana na...
Serikali inatarajia kuwasilisha muswada mpya wa Sheria ya Fedha ya Mwaka 2016 bungeni unaotajwakuwa utawabana na kuwakamua watu mbalimbali wakiwamo wafanyabiashara na wamiliki wa nyumba. Muswada huo unaotarajiwa kuwasilishwa kwa maraya pili bungeni wiki ijayo, unakuja baada ya Juni 8, mwaka huu...
Fidelis Butahe na Sharon Sauwa mwananchipapers@mwananchi.co.tz
Chama cha Wananchi CUF, kimemtaka aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba kutojaribu kukiyumbisha chama katika kipindi hiki ambacho nchi ina matatizo lukuki.
Kauli hiyo iliyotolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Baba Mtakatifu Fransis ametangaza kuwa maaskofu wa kanisa hilo watakaoshindwa kushughulikia makasisi waliokumbwa na hatia ya kuwanyanyasa kingono watoto wadogo wanaweza kuondolewa katika madaraka yao.
Sheria mpya ya Vatican iliyotolewa na Baba Mtakatifu...
Bagamoyo. Zaidi ya kaya 900 zinazozungukwa na shamba la mradi mkubwa wa kilimo cha miwa wilayani Bagamoyo (Eco Energy) wamesema wamepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa ya kusitishwa kwa mradi huo iliyotolewa bungeni na Waziri Mkuu Kassim Mjaliwa, wakisema hawajalipwa fidia na hawajui hatima yao...
Bila ya kutarajiwa akiwa ameingia katika nafasi ya juu kwenye uwanja wa siasa za Marekani, bilionea Donald Trump amepata rasmi uteuzi wa chama cha Republican kuwania urais kwa mujibu wa hesabu ya wajumbe iliyofanywana shirika la habari la Associated Press-AP.
Akiwa amebakiwa na wagombea...
Dar/Zanzibar. Siku moja baada ya Jeshi la Polisi kusema limemwita katibu mkuu wa CUF ijumaa kwa ajili ya kumhoji kuhusu masuala ambayo hayakuwekwa wazi, wanasiasa nchini wamekuja juu wakisema hatua hiyo inaashiria ukandamizaji wa kisiasa, huku chama hicho kikisema kinasubiri tukio hilo ili kitoe...
Mpiga mbizi mmoja anaamini amegundua kile ambacho huenda ni mji mkongwe kutoka pwani ya Tanzania ambao ulimezwa na bahari, kwa mujibu wa taarifa kutoka gazeti la nchini humo Dar Post.
Katika blogu yake Alan Sutton amesema alikuwa kwenye helikopta akielekea kisiwa cha Maffia wakati 'aliona...
SIKU chache baada ya Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamis Kigwangalla, kutoa tamko la kuwataka watoa huduma za tiba asili na mbadala, tamko hilo limepingwa na Jukwaa la Tiba Asilia na Mbadala Tanzania.
Katika tamko lake, Dkt. Kigwangalla alipiga marufuku...
Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga ametoa siku moja kwa Jeshi la Polisi kueleza ni kwa nini askari hawalindi Bandari ya Dar es Salaam badala yake kazi hiyo inafanywa na kampuni binafsi za ulinzi.
Kitwanga amepanga kukutana na viongozi waandamizi wa Polisi kesho ili...
RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Dk Edward Hoseah. Aidha, ameamuru kusimamishwa kazi kwa watumishi waandamizi wanne wa taasisi hiyo kwa kukiuka maagizo yake.
Rais ametengua uteuzi huo wa Dk Hoseah, kutokana na...
Dar es Salaam. Utekelezaji wa ahadi za Rais John Magufuli unazidi kushika kasi baada ya kuanza kwa mchakato wa kuanzisha mahakama maalumu ya kuwashughulikia mafisadi.
Jaji Kiongozi, Shaban Lila alisema jana kuwa tayari wadau mbalimbali wa haki jinai wameanza kukutana kuangalia namna ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.