Nenda serikalini kaka, kwanza una security ya kazi kama wadau walivyosema hapo, pia sio mshahara tu bali kuna kazi nyingi nje y ofisi ambayo kwa level yako ya mshahara p/d ni 65,000/= pia kuna vitu kama extra duty ambayo kwa level yako ni 35,000/=, mi najitolea kwenye halmashauri so naona watu...
kweli mkuu hiyo namba uliyoiweka hapo (0657-105692) ndo hiyohiyo iliyonitumia sms na nimejaribu kuangalia hiyo kampuni hapa Tanzania sijapata address zao ila ipo uingereza na nilianza kupata wasiwasi jinsi hata tangazo lenyewe lilivyo na hata leo pia nimeangalia zoom bado lipo, deadline ni kesho...
habari zenu wanajamii, mm nimemaliza chuo tangu mwaka 2013, kuna halmashauri moja najitolea ila nahangaika sana kutafuta kazi, sasa wiki hii niliona tangazo la kazi la kampuni moja kupitia zoom na jinsi ya kutuma application ni lazima ujisajili na zoom hakukua na address yyt ya kampuni...
bigurube sio nia yangu kuja kushindana hapa kwa kuuza vyeti ambacho nimekihaingaikia miaka 3 pale ifm, nimesema msaaada sio nauza, na ndo mana hapa natoa nachokijua kuhusu bima kwa wale wote wanaotaka kuingia kwenye biashara hii, nina zaidi ya kutoa msaada wa cheti.
nipo manyara kwa sasa ila napatikana anytime,dunia ni kijiji k1 ss, nimetoa mawasiliano hapo juu kwa mkachu, you are welcome sister for anything abt insurance.
Ni simple tu dugu pangaukela, kua agent wa insurance ni kufanya kazi kwa niaba ya principal wako ambae ni kampuni ya bima, kazi yako ni kuwatafuta wateja na kuwauzia product za kampuni, na wewe unapata malipo kwa commission, kwa kifupi productza bima zimegawanyika sehemu kuu 2, aina ya kwanza ni...
hakuna kinachoshindikana, kila kitu hua kina mwanzo mgumu, kama huyafahamu vizuri mambo ya bima, wapo watu ninaoweza kukuconnect nao wakakusaidia, we tafuta mtaji tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.