Kwani wewe uliinunua kwa matumizi gani? na huyo mwanamke aliyeanzisha msala kwa mumewe anaifahamu vizuri kwasababu aisifiaye mvua imemnyea kwani kama hajawahi kuiona au kuitumia asingeng'aka kabisa ila upande wangu nina mashaka na huyo mwanamke
Au utakuta unaingia faragha na demu halafu anaanza kukupa masharti mara aaah! hivi mi sikai unamwambia basi kaa hivi aaah! mi sikai yaani kila staili unayojaribu kumwambia akae ili umpe raha nawe upate anazingua yaani sipendi balaa kwani inakata stimu kabisa au utakuta demu mwingine masharti...
Hakuna kitu kinanikera ninapokuwa kwenye majambozi kama pale ninapotaka mambo halafu mwenzangu ananiambia acha nipumzike kwanza au anaanza kuniambia shida zake yaani huwa inanikata stimu sana
Kwanini huyo mwanamke anawaka? ukiona hivyo ujue anaijua na matumizi yake anayajua pengine kashawahi kuitumia "aisifiaye mvua imemnyea" haiwezekani akomae hivyo kuulizauliza kama haifahamu kazi yake na kama hajawahi kutumia kama ni mimi kibao kingegeuka
Kwahiyo hizo boxer ulizopewa unazivaa? Kama ndivyo ndio limbwata lenyewe kwani kitendo cha kuzipokea tu kinakufanya umfikirie yeye tu kila unapoziona au unapozivaa na kila unapomuona yeye mwenyewe lazima na wewe mzee mzima anaanza kutengemeza tent, chezea zawadi wewe? huyo binti katumia utashi...
Mbona majibu yapo wazi sana na unayomwenyewe, ila waweza mwambia unajua halafu utamwambia shilingi ulioichezea kwenye tundu la choo imetumbukia ndio shida
Ungeomba ushauri kabla hujala tunda sasa ushaharibu ndio unaomba ushauri yaani ni kitu cha ajabu sana, yaani tukio hilo linatimiliza ule usemi usemao "majuto ni mjukuu" samahani lakini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.