Habari Wakuu,mimi Mwanaume Natafuta Mke Wakuoa Mwenye Sifa Bora,asie Kua Na Mtoto,mweupe,elimu Dgree Ya Pili,mwenye Hofu Ya Mungu Kisawasawa,awe Mwajiriwa Au Kujiajiri Umri Miaka28-34,anaejua Thamani Ya Mahusiano Na Ndoa Kwa Ujumla,din Yeyote,kabila Lolote Bt Mhehe Atapewa Kipaumbele.Ni Pm Kwa...
Habari wanajamvi
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 29, niliehitimu chuo kikuu mwaka jana ambae sina ajira,pia natafuta mke wa kuoa ambaye atakua tayari kusaidiana wakati wa shida na raha.Ewe mwanamke kama upo tayari ni pm kwa mawasiliano zaidi.Kwa sasa najishugulisha na shuguli ndogo ndogo...
ni graduate wa uhasibu ktk chuo kichopo tz,natafuta kazi yeyote ile nitafanya.Mtazamo Wangu Nikukuza Nakuboresha Kampuni Au Tasisi Ili Iwe Ya Viawango Nakuongeza Uzalishaji,ni Team Work Mzuri,transparency,naongea Na Kila Mtu Ndan Na Nje Ya Tasisi Au Kampun. Tafadhali Wana Jf Nisaidien Wadau Wangu,
Habari wana Jamiiforums ni mvulana umri 28, naishi kibaha,ni graduate bado sja ajiriwa, ila kuna sehem najitolea, natafuta mke wakuoa elimu form 4-masters, awe wakawaida sina ubaguzi wa kabila, dini wala rangi.atakaye kua tayari anipm ili baadae tusaidiane kutafuta kaz kuendesha maisha yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.