mbinu zao ili watu waingie airtel money,huu ubunifu wao naona wameungundua hv karibuni. mm nimehamia tigo baada ya kujaribu kuingiza vocha niunge internet yangu ikanigomea tokea jana.
unataka life lizidi kuwa tight nn? hicho kidogo wanachokusanya TRA wakikikusanya vizuri na serikali ikizuia matumizi mabaya ya fedha na ufisadi inatosha.
hii mbinu niliisikia nilipokuwa kanda ya ziwa sijui kama ni kweli, yaani hapo itabidi ajiachie mamba wamkamate maana wanasema kabla ya mamba kupiga kiteo lazima kwanza waupeleke nchi kavu then aende akawashtue wenzake ndo waanze kula, ila inabidi akikubana na meno yake usijitupetupe unatulia tu...
duh,sasa hv adabu itakuwepo kati ya watu wa pikipiki na wenye magari kwa kuhofia kupigwa risasi,by the way sio jambo jema ila ubabe ulikuwa umezidi barabarani. ma-serial killer wengi ni watu walioumizwa kwa hiyo wanaamua kufanya revenge, inabidi tuwe waangalifu sana huko barabarani.
kwanza mabadiliko yaanze katika fikra za watanzania wenyewe na sio kutegemea sana vyama vya siasa vituletee maendeleo wale ni wawakilishi tu. Nguvu kubwa iko kwetu sisi wenyewe kwasababu wale hawapai na mabawa mpaka kufikia kuwa viongozi wa nchi, ni sisi ndo tunawachagua na wanatoka katika...
duh, mtambuzi ameku-recruit kwenye haya mambo nini? hii style mpya kabisa,size ya miguu mi naomba thread inayofuata utupe nondo zinahusu size ya dushelele.
best recommended is 100$
kuhusu deposit:
bank wire transfer-minimum deposit 300$ https://secure.instaforex.com/en/deposit-preview.aspx?m=wiretransfer
deposit via credit card cheki hii link https://secure.instaforex.com/en/deposit-preview.aspx?m=cards
Trading platform
Start earning money right now! 1. What is InstaTrader?
InstaTrader is the most dynamically developing trading platform based on MetaTrader 4. InstaForex trading platform is provided for free, including MultiTerminal and its mobile version for Windows...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.