Hope wote mu wazima.
Mi ni mdada wa miaka 26, miezi minne nyuma kabla cjapata ujauzito nilipata tatizo kuishiwa damu nilizunguka hospital nyingi hadi regency wakasema sina tatizo, nikawa naendelea kuhangakaika huku na kule.
Mwezi wa tano nikapata mimba hadi sasa mimba ina miezi sabal, tatizo...
jaman natumain mu wazima.
mi ni bint ,nna tatizo la kupungua damu tangu mwez wa kwanza.nikitumia vyakula au dawa inapanda hata had 13,lakn nikiacha baada ya wiki kama tatu naikuta 9,,.nimepima vipimo ving kama full blood picture,vidonda vya tumbo ,minyoo,kote naambiwa niko normal cna...
natumai wazima jaman
nimekuwa nikisumbuliwa na kizunguzungu,mara ya kwanza nilijua ni typhoid kwan nilikuwa nayo.bt now natumia dozi ya typhoid lakini kinanipata.lakini siku nikishinda na njaa labda asubuh au mchana bas ndo kinakuja.kinakuwa cha dk mbili hv kikali halafu kinaacha hadi siku...
kila anayeleta mada huku,ni hana msimamo binafsi?wew ndio hujitambui na huelewi mada yang imeuliza cha kufanya kwamba aje au tujipange kwanza,hamna sehem iliyouliza nimwache means hakipo kichwan kwang .so u too take care na ujitathmini vizuri una nin!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.