Search results

  1. F

    Tatizo la kuishiwa damu wakati wa ujauzito

    vidonge natumia toka miez mitatu na sp nimekunywa zimepita kama wiki mbili.
  2. F

    Tatizo la kuishiwa damu wakati wa ujauzito

    nimekula matunda sana,mboga za majan kwa wing tena nachemsha tu,au nasaga matembele nakunywa.rozela lakin ndo hivyo inapungua
  3. F

    Tatizo la kuishiwa damu wakati wa ujauzito

    Hope wote mu wazima. Mi ni mdada wa miaka 26, miezi minne nyuma kabla cjapata ujauzito nilipata tatizo kuishiwa damu nilizunguka hospital nyingi hadi regency wakasema sina tatizo, nikawa naendelea kuhangakaika huku na kule. Mwezi wa tano nikapata mimba hadi sasa mimba ina miezi sabal, tatizo...
  4. F

    Msaada wa haraka tatizo la damu

    mungu namshirikisha ndug na naamin atanisaidia.
  5. F

    Msaada wa haraka tatizo la damu

    25,tatzo lako lilidum mda gan
  6. F

    Msaada wa haraka tatizo la damu

    hv na typhoid ikiwa 320,inaweza kusababisha upungufu wa damu?
  7. F

    Msaada wa haraka tatizo la damu

    thanks much.natumain hivyo
  8. F

    Msaada wa haraka tatizo la damu

    jaman natumain mu wazima. mi ni bint ,nna tatizo la kupungua damu tangu mwez wa kwanza.nikitumia vyakula au dawa inapanda hata had 13,lakn nikiacha baada ya wiki kama tatu naikuta 9,,.nimepima vipimo ving kama full blood picture,vidonda vya tumbo ,minyoo,kote naambiwa niko normal cna...
  9. F

    Ya Moto band ipigwe marufuku, Sasa imevuka mipaka kukiuka maadili

    jaman msanii anatakiwa afikishe ujumbe kwa tafsida.sasa mbona yamoto wametumia tafsida nyi mnalalamka nn??
  10. F

    Jamani msaada wana JF

    Je ni kweli mtu akizitumia sana damu inaweza kupungua? naomba kujua ni dawa zipi?
  11. F

    Jamani msaada wana JF

    hamna kalagabaho,nimeuliza hivyo kwa sababu ni antibiotic na nimesikia zinamaliza white cells.
  12. F

    Jamani msaada wana JF

    hope wote mu wazma, jaman naombeni mnisaidie hivi kuna dawa za typhoid ambazo husababisha damu kupungua mwilini? hope ntapata majibu mazuri.
  13. F

    Nisaidieni cha kufanya kuhusu hiki Kizunguzungu

    damu,pressure,kisukari vyote nimepma niko sawa.
  14. F

    Nisaidieni cha kufanya kuhusu hiki Kizunguzungu

    asante kwa ushauri ndugu yangu.
  15. F

    Nisaidieni cha kufanya kuhusu hiki Kizunguzungu

    natumai wazima jaman nimekuwa nikisumbuliwa na kizunguzungu,mara ya kwanza nilijua ni typhoid kwan nilikuwa nayo.bt now natumia dozi ya typhoid lakini kinanipata.lakini siku nikishinda na njaa labda asubuh au mchana bas ndo kinakuja.kinakuwa cha dk mbili hv kikali halafu kinaacha hadi siku...
  16. F

    Jamani nini cha kufanya maana sielewi

    kila anayeleta mada huku,ni hana msimamo binafsi?wew ndio hujitambui na huelewi mada yang imeuliza cha kufanya kwamba aje au tujipange kwanza,hamna sehem iliyouliza nimwache means hakipo kichwan kwang .so u too take care na ujitathmini vizuri una nin!!
Back
Top Bottom