Mtangazania wakili Msomi William Ngeleja keshaingia ukumbini, akiambatana na mkewe na binti yake, pamoja na mpambe wake wa karibu Dr. Festus Limbu, mbunge wa Magu.
Meza kuu pia amekaa chief mkuu wa Wasukuma, mzee Kafipa na mwenyekiti wa wazee mkoa wa Mwanza, mzee Masalakulangwa. Matangazo...
Tuesday, December 28, 2010 9:48 PM
Mnyele alifutiwa adhabu hiyo mbele ya Jopo la Majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa Jaji Salum Massati, Mbarouk Mbarouk na Benard Luanda baada ya kutengua hukumu ya Mahakama Kuu juzi.
Mahakama ilifuta hukumu hiyo baada ya kuridhika na utetezi wa mawakili wa...
Tanzia
Aliekuwa Mtangazaji maarufu wa radio Tanzania (TBC) mzee BEN KIKO amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo 31/10/2014 kwenye hospital ya jeshi mirambo Tabora.
R.I.P BEN
CHANZO: TBC
Kijana mwenzetu Amani Msimbe mfanyabiashara wa matunda soko kuu la Tabora, ameuwa na POLICE wakituo kikuu baada ya kumpa mateso makali Mithili ya jambazi sugu.
MSIMBE ambae alikamatwa tarehe 24 baada ya kumpiga mdeni wake , rafiki zake Wanasema Wakati anakamatwa aliwasumbua police kwavile...
an online marketplace for African safari tours, conducted a two-year-long study, gathering reviews from more than 1,000 safari-goers and reputable industry experts to see which African country is best for African safaris. With a score of 4.8 out of 5 stars, Tanzania took the spotlight as the...
BARAZA LA USALAMA
Hapo tarehe 28 Machi, Baraza la Usalama la UN kwa kauli moja lilipitisha Azimio 2098, ambalo lilisafisha njia kwa chombo cha kwanza cha kimataifa cha kikosi cha mashambulizi. Mamlaka ya kikosi hicho cha kuingilia kati, itakayoundwa na vikosi vya askari wa miguu kutoka...
Mahakama ya Rufaa imemrejeshea ubunge wa Igunga kwa mbunge wa CCM Dr.Dalali Peter Kafumu, uamuzi huo umetolewa punde tu hapa Tabora.
Picha baadae kidogo.
IF I have told to choose between my country and my party I will choose my country, ndivyo anavyosema Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Profesa Mwesiga Baregu.
Alikuwa akimaanisha nini? Kama ningetakiwa nichague (kitu) kimoja kati ya nchi yangu...
Kwa mujibu wa muandishi alie na wasi hao Diana Katabarwa kwenye Blog yake ya congo DRC NEWS anamnukuu kiongozi wa kisiasa wa M23 Mr. Bisimwa akiwambia wakaazi wa North Kivu kuwa majeshi ya Tanzania na South Africa nimajeshi dhalimu yaliyo jaa rushwa na hayawezi kuibadili Congo ila yamekuja...
M23 rebels withdraw through hills on November 30, 2012, after leaving the eastern Democratic Republic of the Congo village of Karuba. [Phil Moore/AFP]
M23 military chief Brigadier General Sultani Makenga (centre) gestures to some of his officers near the eastern Democratic Republic of...
Mdogo wa mwisho wa mbunge wa Nzega mheshimiwa Hamis Kigwangala anayejulikana kwa ina la LUMOLA STEVEN KAHUMBI leo amevua MAGAMBA na kuvaa MAGWANDA rasmi BAADA YA KUCHOSHWA na BLAH BLAH za CCM.
Lumola pamoja na MAGAMBA wenzie wa zamani wamekabidhi kadi za CCM na kukabidhiwa zile za CHADEMA na...
HALI HALISI YA MAUAJI YA HASSAN MGALULA:
Askari Polisi hao wakati wakimchukua kwenye usafiri wa Bajaji ya mizigo huku wakiwa wamemkanyaga bila kujali hali mahututi aliyokuwanayo marehemu Hassan Mgalula mara baada ya kipigo kikali kilichosababisha kifo chake hapo baadaye,INASEMEKANA KUWA...
Blog ya IKULU inayo endeshwa na kurugenzi ya mawasiliano ya ikulu, haina hadhi ya kuwa blog ya ikulu na ni aibu kwa ikulu na taifa kwa ujumla.
Blog hy ya first office ina background color ya kijani iliyo ivaa na maandishi yanayotumika nimeusi tii,, kiasi kwamba huwezi kusoma mpaka uya...
Katika hali ya kushangaza, jeshi la Police mkoani Tabora limewatorosha askari wake waliofanya mauaji tarehe 29 mwezi wa pili mwaka huu wa 2012 na kuwahamishia mikoa mingine.
JINSI TUKIO LILIVYO RIPOTIWA NA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 3/3/2012
ASKARI POLICE WAKAMATWA KWA MAUAJI
jeshi la polisi...
Leo kwenye mazishi ya mke wa mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Arusha mjini God Mwalusamba, kijana Waziri Mbeyu dereva wa familia ya rais kikwete, ametoa salam za rambirambi kwa niaba ya Rais na mwenyekiti wa CCM taifa! ilhali alikuwepo Dc wa Arusha mjini Raymond Mushi, mwenyekiti wa CCM wilaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.