Leo kwenye mazishi ya mke wa mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Arusha mjini God Mwalusamba, kijana Waziri Mbeyu dereva wa familia ya rais kikwete, ametoa salam za rambirambi kwa niaba ya Rais na mwenyekiti wa CCM taifa! ilhali alikuwepo Dc wa Arusha mjini Raymond Mushi, mwenyekiti wa CCM wilaya ya arusha ndg. Kileo, Meya wa jiji la Arusha, mjumbe wa CC BENO Malisa , lakini wote walionekana hawafai kumuwakilisha JK eti kawakilishwa na dereva.
kilichovutia wengi kwenye msiba huo ni mwenyekiti wa kamati ya mazishi mh.GODBLESS LEMA mbunge wa arusha namna alivokuwa akiendesha shuguli hiyo huku wana CCM wakiwekwa kando. huku mfiwa bwn. MWALUSAMBA akisikitika kutokuja kwa rafiki yake kipenzi Prince Ridhiwani Kikwete.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREMU MAHALI PEMA PEPONI
kilichovutia wengi kwenye msiba huo ni mwenyekiti wa kamati ya mazishi mh.GODBLESS LEMA mbunge wa arusha namna alivokuwa akiendesha shuguli hiyo huku wana CCM wakiwekwa kando. huku mfiwa bwn. MWALUSAMBA akisikitika kutokuja kwa rafiki yake kipenzi Prince Ridhiwani Kikwete.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREMU MAHALI PEMA PEPONI