Endapo wanafunzi watalipa nauli za wakubwa kwenye dala-dala, mojawapo ya faida ni kwamba: HAWATA ACHWA KABISA VITUONI NA USAFIRI WAO UTAKUWA NI WA UHAKIKA.
Je upande wa HASARA ni nini? Kama itaonekana faida ni kubwa kuliko hasara nashauri Serikali itangaze nauli moja kwa wote bila kujali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.