Search results

  1. M

    Kwanini zana zetu zimekuwa siri?

    Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Ni nani mmiliki wa huu ulimwengu/dunia?

    Mungu ni mmiliki wa nyote vilivyomo duniani na mbinguni.
  3. M

    Dr. Slaa turns 70: Bado ni "think tank" wa CHADEMA?

    Wewe una miaka mingapi? Akili yako fupi kweli huwezi linganisha uumri na uongozi. Pitia viongozi wa Africa umri wako.
  4. M

    Salaam kwa Mh. Edward Lowassa na wenzake

    Na kweli nimepoteza mda wangu kusoma post ndefu, isiyo na maana yoyote. Umri mwingi huondoa hadi akili mtoa mada baki ucheze na wajukuu, ushapitwa na wakati. El ndio jibu.
  5. M

    Jirani yangu (50+yrs) anafanya mapenzi na houseboy wake (below 18yrs)

    mleta mada ni ------ mapenzi hayana uumri.
  6. M

    Kuwa Tajiri na ukakosa Elimu ni Maradhi makubwa sana

    Ww msomi wa darasa. Bakhresa ni msomi wa vitendo,anamudu kuendesha biashara ni bingwa. Wasomi wanapiga magoti kwake, kwanini? Yeye ndie msomi mkuu kuendesha biashara si mchezo. Wasomi wengi ni watumwa tu wa wafanya biashara. Wezi kazi katika nafasi zao. Bakhresa wacha chezea huyo mtu kichwa...
  7. M

    Kuajiriwa na mafanikio tunayotaka

    Hata Bakhresa kaishia elimu ya msini hajawahi ajiriwa. Bilionea wa Tz.
  8. M

    Job Ndugai ni mgonjwa, hawezi hata kuongea...

    Kolimba, Dr Omari Juma.
  9. M

    Kuna elimu gani juu ya Kupandisha mashetani?

    Heshima kweni wakuu. Nilikuwa nasikia halafu nikajionea mwenyewe. Mtu anapiga kelele, kutetemeka na kusema maneno ya ajabuajabu eti kapandisha shetani. Inakuwaje sipati jibu. Nawaombeni mnielimishe kuhusu hili karibuni wakuu.
  10. M

    CCM Zanzibar: Hatutaunda tena Serikali ya Kitaifa Zanzibar

    Hivi huyo mama anamiliki danguro?
  11. M

    Msaada:Jinsi ya kupika mkate wa Mofa

    wapendwa wapishi mbona mko kimya. Jitokezeni mnisaidie pls.
  12. M

    Msaada:Jinsi ya kupika mkate wa Mofa

    wapendwa wapishi mbona mko kimya. Jitokezeni mnisaidie pls.
  13. M

    'Wali' kwa lugha ya Kiingereza

    Naomba msaada kwa kingereza wali unaitwaje?.
  14. M

    Msaada:Jinsi ya kupika mkate wa Mofa

    Jamani anaejua kutengeneza mkate wa mofa msaada tafadhali.
  15. M

    Kwanini zana zetu zimekuwa siri?

    Tunaona na kuvitumia vitu vya wazungu kama magari, TV, Simu, silaha na vinginevyo vingi tu. Waswahili nasikia nao wana, ungo wa kusafiria pia wana silaha kama, usinga, tego, mkweche, puju, zongo mwangeni, na kadhalika. Kwanini waswahili hawaweki wazi silaha hizo na kuzingiza sokoni?. Mm...
  16. M

    COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

    Paul hata Farao alisema hivyohivyo, alikataa katakata uwepo wa Mungu. Kumbuka alipokuwa anakufa maji, aliuona ukweli wa uwepo wa Mungu. Akatamka nimemuamini Mungu wa Musa na Harun. Subiri siku ya kufa hapo ndipo utakapo juta.
Back
Top Bottom