Sijawahi kuona huu uwanja ukifurika watu namna hii kila kona ni maandamano ya watu na nyimbo za Lowassa. Watu wamekesha Lowassa hajafika ila watu tangu asubuhi wapo wamejaa. Kweli mafuriko hayazuiliki kwa mikono.
Hapa Mbeya tayari wameleta matangazo yao ya biashara; wamesema watasafirisha wenyewe na kuuza kwa bei ya chini.Baada tu ya haya Matangazo. Tembo cement ya hapa Mbeya wameshusha bei ghafla kutoka elfu 17 na 16 hadi tsh.14500 na 14000. Tanzania ni wizi mtupu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.