Simu yangu ina tatizo la kuhamisha unachokifanya. Kwa mfano naweza nikawa naandika "a" yenyewe ikaacha nafasi na mbaya zaidi naweza nikawa nafanya kitu fulani kama kuchat ghafla tu inarudi nyuma.
Mfano naandika kutoka hapa
Najikuta inanipeleka mwanzo kabisa hapa. Na wakati mwingine nikiwa...
Wacha wasote na majoho si tusote na mahela, chuo ilikua zamani saaana sio enzi hizi za BRN wadau muelewe
Unamaliza chuo hata chembe la utofauti na mtu aliyehitim ngazi ya cheti hamna,
Unadai hadhi ya joho nawakati hadhi yako kwenye life skils hatuioni?
Umevaa joho kwa ajili unahitm mfano...
Mi ninaanza kuingiwa na wasiwasi juu ya CDM
Tunajiita makini kumbe hata vielelezo vya msingi tunashindwa kuvitambua?
Akilini haingiii huyo ni katibu mwenyekiti alikua wapi?
Na kwa utahila huo hawa wezi watazidi kutushika ------ tuuu
Kumbe mi ndooo naanza kupata picha nini maana ya siasa, ni...
Simu yako we shy mropokeee tu kuliko kuugua vidonda vya moyo.
Siri ya mwanaume ni urijali sas kama unambwela hivi hafu naye akajua si atakuona boyaaaa
Raha ya kichefuchefu ni kutapika mdau ,
Er
We yamwage atajajua yeye
Mi napendaga yule kila kituo ananunua viroba vya z na kujivutia ka master sport gari likita kuondoka mdomo unatema miksa, alafu anafunga mdomo wake na kaugorooooo hana habari na mtu
Nikweli hata sehemu moja kigoma inayoitwa kagera nkanda , mtu anakodisha kondom geto kwake na wengine hutumia mifuko laini na mafuta ya mgand na mzigo unaliwa kama kawa.
Cha ajabu wakuu wengine hutumia vipurizo na kulainishia na mafuta ya mgando
Muache ufinyu wa mawazo,
Embu thamani ya digrii yenyewe iko wapi, wengi wamekwenda kujifunza "extra culiculum"" badala ya utaalam.
Mfano wanachuo kucheza picha za ngono .
Leo hii wanvyuo wote wameshusha thamani ya elimu kuliko ilivyotarajiwa kabisaaa .
Kujiuza mpaka thamani ya chips , leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.