Hamna bana wewe yaani mkoa mzima wasipate?
ila Tunduma nasikia wako vizuri saana kuliko sehemu zote kwa maana aliyesimama yuko vizuri kuliko wa ukawa
hivi wanatunduma ya kweli hayo tupeni na wengine tujue jaman
Haaaa ina maana mwaka huu mnamaanisha CCM hawapati kitu jimbo la Tunduma? mbona nasikia huko Tunduma wako vizuri saana maana wamesimamisha kijana machachali na mwenye uwezo mkubwa?
daaa kweli km ni hivo ina bidii wajipange saana na kujiandaa kisaikolojia.
Asanten sana wadau maana hata mimi wangu naona manenno mengi hatamki, na ana 1.8year.
ila anaelewa kila kitu.anajua dada, mama,baba, kaka, sante, na mengine machache tu mojamoja tu.
Mwaka huu Tunduma ni CCM wanarudisha jimbo kwa hali iliyopo kwa sasa, na kijana machachali na mtenda kazi.......
km hatuamini tusubiri oct,2015.maana hadi sasa hali inaonesha wazi ilivo.Mungu ibariki Tunduma
Mimi nina shida nimepitiliza siku zangu ilitakiwa nipate tar 9 june hadi leo sijapata nimechanganikiwa, japo nina uhakika sina mimba maana nilikutana na mme wangu siku ya sita na mzunguko wangu ni siku 26.sasa sijajua nn tatizo nahitataji msaada wenu. nanyonyesha lkn haijawahi kutokea kupitiliza...
Mimi nimepitiliza siku zangu ilitakiwa nianze tar 9 june lkn hadi leo sijapata na nina uhakika sina mimba, maana nilikutana na mme wangu bila kinga siku ya sita na mzunguko wangu ni siku 26.naombeni msaana jaman kwa anayejua nini tatizo maana sina raha kabisa.na ninanyonyesha bado lkn sijawahi...
mimi nina tatizo ambalo limeanza mwezi wa tisa, mwezi wa tisa nilichoma sindano ikaisha mwezi wa 12 tar 22 sikuchoma tena, mwezi huo wa 12 nilipata siku zangu kawaida ila kwa muda mrefu kidogo nikaenda hospital nikaambiwa ni kawaida ila nilipewa antibiotics, mwezi huu wa kwanza nilpata siku...
Kuna rafikiangu ana tatizo la hethi, alijifungua tar 1/5/2014 na baada ya siku 40 kupita alianza hedhi kawaida imeenda
vizuri tuu, lakini kuanzia mwezi wa kumi mwaka jana ikakta tena na mpaka saizi hajapata hedhi tena, alienda kwa docor
akapima km ana mimba lkn hakuwa nayo lakni doctor...
Habari ya asubuhi wandugu
Mimi ni mama wa mtoto mmoja, Jaman mwenzenu kama nilivouliza mara ya kwanza kuhusu sindano ya uzazi wa mpango ambayo nilichoma mwezi wa tisa mwaka jana na iliisha tar 22 dec, 2014.
Lakni baada ya kuisha sikuchoma tena niliachana nazo ili nitumie njia ya...
pole kwa yote, hilo sio wanawake tuu bali hata wanaume wapo wengi tuu, kwahiyo ni tabia ya mtu na sio jinsia, binafsi huwa nakwazika, maana mtu anakuwa km kadharau ulichoandika
Habari ya kazi bandugu, naomba kuuliza kwaanayejua kituo kizuri kinachotoa review ya CPA kwa dar es salaam
me natarajia kuanza final stage, naomba msaada wenu,
kazi njema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.